Chelsea Kwanzaa Ligi kwa ushindii mnono.




Chelsea imeanza Ligi Kuu England kwa ushindi wa Ugenini huko Turf Moor dhidi ya Timu iliyopanda Daraja Burnley ambayo
wameifunga magoli 3-1 magoli yote ya Mechi hii yalifungwa Kipindi Cha Kwanza lakini ni Burnley ndio walitangulia kufunga kwa goli lililofungwa na  Shucott Arfield dakika ya 14 na Diego Costa akicheza Mechi yake ya kwanza ya Ligi, kusawazisha Dakika ya 17.


Goli la Pili la Chelsea lilifungwa na Andre Schurrle Dakika ya 21 na Branislav Ivaovic kupiga Bao la 3 Dakika ya 34.Ni mwanzo mzuri kwa The blues katika kampeni yao ya kutafuta taji msimu huu baada ya kutoka kapa msimu uliopita
 
                                              
                             Posted by Mr.Prime On Tuesday, August 19, 2014 |
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment